SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, July 29, 2010


Rais Karume Azindua Majenereta 32 Ya Umeme Wa Akiba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani AbeidKarume,akiweka mkono wake kujaribu upepo wa feni wa Jenereta baada ya kuiwasha
ikiwa ni hatua ya Uzinduzi wa majenereta 32 ya Umeme wa Akiba,huko Kituo Kikuu cha Umeme Mtoni,majenereta hayo yamewekwa na Kampuni ya Mantrac ya Nchini Misri.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid
Karume,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa majenereta 32 ya umeme wa akiba yaliyowekwa na Kampuni ya Mantrac kutoka Nchini Misri,huko Kituo kikuu cha Umeme.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Amani Abeid
 Karume,akisisitiza jambo wakati alipotembelea Majenereta 32 ya Akiba,mara bada ya kuyazindua Huko Mtoni kituo Kikuu cha Umeme,(kulia) Mtaalamu wa Kampuni yaMantrac kutoka Nchini Misri Youseif Aly Youseif,Kampuni ya Mantrac ndioiliyoshuhulikia uwekaji wa Majenereta hayo,(kushoto) Waziri wa Maji,Ujenzi,Nishati na Ardhi,Mansour Yussuf Himidi
Haya ni Baadhi ya Majenereta 32 ya akiba ambayo yatasaidia wakati Umeme kutoka kidato utakuwa na matatizo,na kukosekanwa kwa muda,yakiwa kituo kikuu cha umeme Mtoni Mkoa wa Mjini Mahgaribi Unguja.Picha na Ramadhan Othman Ikulu/Zanzibar.

0 comments:

Post a Comment