Hongera
kwa Wagombea
Mama Salma Kikwete akimpongeza mai hazbendi wake
Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa kwa zaidi
ya asilimia 99 kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya CCM usiku wa
kuamkia leo ukumbi wa Kizota mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwatambulisha Mgombea Urais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein(kushoto)
na mgombea mwenza bara Dr.Mohamed Gharib Bilal kwa wajumbe wa mkutano
mkuu wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
pampja na Rais wa Zanzibar Amani Abedi Karume(kulia) pamoja na Makamu wa
Rais Dr.Ali Mohamed Shein(wapili kushoto), pampja na mgombea mwenza
Dr.Mohamed Gharib Bilal mwishoni mwa mkutano mkuu wa CCM mjini Dodoma
usiku wa kuamkia leo. Picha na Freddy Maro
****************************
Dakta Gharib Bilal ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Rais Jakaya Kikwete
JK AKIMPONGEZA DK. GHALIB BILAL
Dakta Gharib Bilal ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Rais Jakaya Kikwete
JK AKIMPONGEZA DK. GHALIB BILAL
DK. GHALIB BILALI AKIPONGEZWA NA MZEE KINGUNGE NGOMBALE
MWIRU. KATI NI MH. FREDERICK SUMAYE



0 comments:
Post a Comment