Muonekano wa Kitabu hicho
Leo,
katika Maktaba ya Jiji la Dar-es-salaam ambayo pia ni Maktaba Kuu ya
Taifa, Faraja Nyalandu ambaye ni Mkurugenzi katika taasisi yake ya Shule
Direct amekabidhi kitabu chake kipya cha “Unaweza” kwa ajili ya
wanafunzi watakaofika kwenye maktaba hiyo.



