
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe
kuelekea ukumbini kutunukiwa Shahada Ijumaa Septemba 20, 2013



