Staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' pamoja na Mahsein
Awadh 'Dk. Cheni' wakipitia Gazeti la Ijumaa Wikienda ndani ya Mahakama
Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati wakisubiri kusikiliza kesi
inayomkabili Lulu juu ya kifo cha msanii Steven Kanumba.
Elizabeth
Michael 'Lulu' (katikati) akiwa na mama yake mzazi, Lucresia Karugila
(wa pili kushoto) na Dk. Cheni (kulia) ndani ya Mahakama Kuu Kanda ya
Dar es Salaam leo.
CREDIT. MILLARD AYO NA GPL
0 comments:
Post a Comment