Waumini wa Kiislam na Wadau mbali mbali wakishirikiana kubeba mwili wa Marehemu RanKeem Ramadhan wakati wa Safari yake ya Mwisho kuelekea kwenye makaburi ya Sinza, Jijini Dar es Salaam jioni hii.
Wadau mbali mbali wakiwa kwenye Mazishi ya Marehemu RanKeem Ramadhan jioni hii kwenye Makaburi ya Sinza,jijini Dar es Salaam jioni hii.
NA ANKAL MICHUZI
NA ANKAL MICHUZI
0 comments:
Post a Comment