SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, October 25, 2013

Waziri Mkuu Mizego Pinda na Ujumbe Wake Wanavyoendelea na Ziara Yao Ya Kikazi Nchini China

  Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akisalimiana na Gavana wa jimbo la Guangdong nchini China, Bw. Zhu Xiaodan kabla ya mazungungumzo yao kwenye hoteli ya Dong Fang mjini Guanzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24, 2013.
  Waziri Mkuu, mizengo Pinda akiongozana na Mwenyekiti wa shirika la Ndege la China la HAINAN AIRLINES, Bw. Chen Feng (kushoto na Balozi wa China nchini Dr. Lu baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya Dong Fang mjini Guanzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchinio China Oktoba 24, 2013.
Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harison Mwakyembe akibadilishana kadi za mawasiliano na Rais na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la China Southern Air, Bw. Tan Wengeng wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na ujumbe wake walipokutana na Rais uyo kwenye Hoteli ya Dong Fang mjni Guanzhou China Oktoba 24, 2013.
  Rais wa Umoja wa Watanznia waishio Guanzhou China, John Rwehumbiza akitembea haraka kuwahi mkutano kati ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na watanzania waisio Guanzhou Oktoba 24, 2013.
  Watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Guanzhou China akiwa katika ziara ya kikazi Oktoba 24,2013.
  Watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Guanzhou China akiwa katika ziara ya kikazi Oktoba 24,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watanzania waishio Guanzhou China baada ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24, 2013.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

0 comments:

Post a Comment