Mkuu wa Kitengo cha Dawa za Kulevya Afrika Kusini,
Kamishna Toto Mangaleni aliithibitishia Mwananchi jana kuwa watuhumiwa
hao wameachiwa kwa dhamana,lakini wataendelea kubaki Afrika Kusini
wakati kesi yao ikiendelea.
Mangaleni alisema wanawake hao ambao juzi pia
walipanda kizimbani, walipata dhamana hiyo jana kutoka Mahakama Kuu ya
Gauteng iliyoko eneo la Kempton Park jijini Johannesburg.
Kwa Habari zaidi
0 comments:
Post a Comment