SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, June 3, 2013

Mnuso wa Mwanalibeneke Shamim Mwasha na Abdul ni gumzo la Jiji

 Mwanamuzjiki Mkongwe nchini,Lady Jay Dee a.k.a Bint Komando akitumbuiza jukwaangi wakati wa hafla ya mnuso wa kumeremesha Mwanalibeneke Shamim Mwasha na Mumewe Abdul iliyofanyika usiku wa kumamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam.
 Maharusi,Shamim Mwasha (kuli kulia) na Mumewe Abdul (katikati) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Wadau waliofika kwenye mnusho huo.
 Ankal Khamsin na Mamaa wa Mitindo Asia Idarous Khamsin wakiwa na Mdau Cathbert Angeno kwenye mnuso huo uliofanyika usiku wa kuamia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.
 Ankal Khamsin na Mamaa wa Mitindo Asia Idarous Khamsin wakishoo love na Mie.
 Mie na Dada Sabah Kiobya tukiwa kwenye picha ya pamoja na Maharusi.
 Maharusi katika picha ya pamoja na Ankal Khamsin na Mama wa Mitindo,Asia Idarous Khamsin.
 Warembo wa mji wakiolishambulia jukwaa vilivyo kwa mangoma makali ya OldSkol toka kwa DJ Peter Mo. 
 Hapa ni mwendo wa Sebene za hatariiiiii.....
 Mie (kati) nikiwa na Mwanalibeneke Jestina George (kulia) na Hawa Mkamba.
 Cathbert Angelo,Jestina George na Hawa Mkamba ndani ya Zulia Jekundu.
 Bi. Harusi na Mashost wake.
 Mie na Maharusi kwenye Zulia Jekundu.
 Cathbert Angelo na Maharusi.
 Mambo ya Shoo Love. 
 Mie na Mrembo Jokate Mwegelo.
 Mie na DJ Peter Mo.
 Mie na Cathbert Angelo.

NA MICHUZI MATUKIO BLOG

0 comments:

Post a Comment