Wafanyakazi wanawake kutoka ofisi
mbalimbali wakiwa wamejipanga kwaajili ya kuanza maandamano hapo jana
yaliyoanzia katika shule ya msingini mabatini iliyopo Wilaya ya Temeke
na kuishia katika uwanja wa Mwembe Yanga, wakati wa maadhimisho ya
Sikukuu ya Wanawake Duniani yaliyofanyika tarehe 8 Machi 2014.
Showing posts with label SHEREHE YA KUADHIMISHA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA HAPO JANA KATIKA UWANJA WA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM. Show all posts
Showing posts with label SHEREHE YA KUADHIMISHA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA HAPO JANA KATIKA UWANJA WA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM. Show all posts



