
Afisa
habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu(
kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa
vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya
Peacoco jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyomba
mbalimbali nchini.



