SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, July 4, 2014

AJALI YA DALADALA TABATA MATUMBI




https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEir4I6XSMIz04kTsXweBvV6z35Wa39MvR4b4_cST_BxnOi0IxwUCl_aW4Tv_os44KIa-c60p3CeOpBGTFDDxBL_3CG3nuezXgLsodmN5wXHyqgu1cN-bcZy_EM3xnXwGjbsTTuKdPvk_rNR/s1600/FKB_2741.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8mNNQROZJ4r4B2qdtVM6yOFVlvVeRYmeh67GwCgseu8eSYVJx3lnOeF0ECEkzLM4R8H3tPDipLwXlS8ba4JJs1T69z5rJGFCl4cnZppGn10sQOjifWk9xk4tHxz4hUokzdDhZhRZ1TRMs/s1600/FKB_2728.JPG
Daladala aina ya Toyota DCM lenye namba za usajili T344AHZ lifanyalo safari zake kati ya Mtoni Mtongani na Ubungo jijini Dar es Salaam likiwa limeharibika baada ya kugongana na Lori eneo la Tabata Matumbi Julai 3 mwaka huu.



Mashuhuda wa ajali hiyo wameipasha Blog hii kuwa daladala hilo lilipata ajali hiyo wakati lorio hilo likivuka barabara na kuligonga katikati. 

0 comments:

Post a Comment