SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, April 22, 2014

WATU 12 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI LA LUHUYE EXPRESS

 Watu 12 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la Luhuye Express iliyotokea jana asubuhi katika kitongoji cha Ichila, kata ya Ityimilo wilaya ya Busega mkoani Simiyu. Basi hilo linafanya safari zake kati ya mikoa ya Mara na Mwanza

Muonekano wa basi hilo baada ya kutokea ajali hiyo. Chanzo cha ajali imeelezwa kuwa ni mwendo kasi, ambapo dereva alishindwa kulimudu na hatimaye kuacha njia, kugonga nyumba na baadaye kupinduka

NA RWEYUNGA BLOG