SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, April 13, 2014

UPDATE YA MATUKIO YA MAFURIKO YA JIJINI DAR, JANGWANI, MBAGALA NA MATUMBI HATARI TUPU

Hapa ni eneo la Jangwani Uwanja wa Club ya Yanga na nyumba zilizopo pembeni yake pakiwa pamejaa maji na barabara ya jangwani kutokea Kigogo haipitiki.
Huu ni uwanja wa Club ya Yanga....ukiwa umejaa maji....
Hii ni Braking News ya Daraja la Matumbi kutoka Buguruni kuelekea Ubungo.....
Jangwani......
Nyumba za jiraji na Jengo la Yanga Jangwani......
Mito ni kama hivi hatari tupu.....
Hatari tupu eneo la Mbagala.....
Lori likiwa limetumbukia baada ya barabara kukatika kutokana na mvua kubwa iliyosababisha maji kukatiza barabara eneo la Mbagala. Dereva ameokolewa na wasamariawema.
Wananchi wakihama baada ya nyumba zao kujaa maji....
Wananchi wakiokoana kimtindo......
Nyumba za Dar Villa Msasani.....
Hapa ni Bunju, .......