SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, April 15, 2014

Picha Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma

  Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Philemon Ndessamburo (kushoto) na James Mbatia (kulia) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
]Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Sophia Simba (kushoto) na James Lembeli (katikati) na Job Ndugai (kulia) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Iddi (Wapili kushoto) wakifurahia jambo katika mazungumzo na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Kificho (wapili kulia) na Haidar Madeweyya .

  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(wa pili kulia) akiongozana na wajumbe wengine wa Bunge hilo kuelekea katika mapumziko mafupi mara baada ya kikao kuharishwa leo mchana mjini Dodoma.
  Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mohamed Abood(kushoto) na Stephen Wassira wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dodoma wakiwa Bungeni Mjini Dodoma Aprili 14, 2014 kwa ziara ya kujifunza.