SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, February 4, 2014

TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA

Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.

Baadhi ya majeruhi katika waliojeruhiwa kwenye vurugu hizo.
Polisi wakipambana na vijana waliokutwa eneo la msikiti wa Musa.
Vijana wakiwa tayari kupambana na polisi.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa eneo la msikiti wa Musa mtaa wa Majengo, Mombasa.
Mojawapo ya gari likiteketea kwa moto wakati wa vurugu hizo.
VURUGU wakati wa msako wa polisi katika msikiti wa Musa mtaa wa Majengo, Mombasa nchini Kenya umesababisha vifo vya watu watatu akiwepo polisi wakati wengine wengi wakijeruhiwa.
Vurugu hizo zilitokea kuanzia juzi Jumapili baada ya polisi kuvamia msikiti huo uliodaiwa kuhubiri itikadi kali za kiislamu.
Katika msako huo vijana zaidi ya 100 wamekamatwa na jana walifikishwa mahakamani kujibu makosa ya kujihusisha na vitendo cha kigaidi.

(PICHA NA MDAU WA GPL MOMBASA,  KUTOKA GLOBAL WhatsApp # +255 753 715 779)

0 comments:

Post a Comment