Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akikagua timu ya Mbeya city
|
JUMLA
ya shilingi milioni 25,602,000 zimepatikana katika mechi ya Mbeya City
na Mtibwa Sugar iliyochezwa katika uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine na
timu ya Mbeya City ambayo ilishinda kwa goli 2-1 hapo Jumapili
Februari 9, 2014.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akikagua timu ya Mtibwa |
Mbeya City |
Mtibwa Sugar |
Mtanange uwanjani
Hekaheka lango la Mtibwa
Lalalalal-lallaaaaa-laaaalaaaaaaaaaaaa.... anadaka pale
WADAU
WA MICHEZO WOTE KUTOKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
IRINGA,RUVUMA,RUKWA,KATAVI NA NJOMBE PAMOJA NA WALE WAPENZI WA
MICHEZO TUUNGANE KUICHANGIA TIMU YA MBEYA CITY TIME ILIYOBADILI SOKA
LA SIMBA NA YANGA
Na Mbeya yetu
|
0 comments:
Post a Comment