Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa
waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la
Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi
Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape
amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa,
baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya
Ubunge.Picha na Bashir Nkoromo
Wednesday, February 12, 2014
Kamati Kuu ya CCM Yamteua Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu Dk.William Mgimwa,Ndugu Godfrey William Mgimwa Kuwa Mgombea wa Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga, Iringa
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Wednesday, February 12, 2014
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Labels:
IRINGA,
Kamati Kuu ya CCM Yamteua Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu Dk.William Mgimwa,
Ndugu Godfrey William Mgimwa Kuwa Mgombea wa Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga
0 comments:
Post a Comment