Polisi wakiondoka na mwili wa mtoto huyo
Mwenyekiti wa mtaa wa Block T Ndugu
Majembe akimwongoza Honest Shoo ambaye ni mfanyakazi wa Bank ya Posta kitengo
cha masoko (mwenye shati nyeupe) kwenda kutoa maelezo kwa polisi waliofika
katika tukio.
Chanzo cha moto huo hakijajulikana
Picha kwa hisani ya Luhanga
0 comments:
Post a Comment