SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, November 12, 2013

RAY C ASHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUACHA MIHADARATI

 
 Msanii wa Kizazi Kipya Rehema Chalamila akisherehekea mwaka mmoja toka aache kutumia mihadarati katika hafla maalumu iliyoandaliwa kwa wanaopata matibabu ya kutumia madawa ya kulevya katiuka hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam wikiendi ilopita. Ujumbe hapo ukiwa "Tanzania bila madawa ya kulevya inawezekana". 
 Ray C akiwa na wagonjwa wengine katika hafla hiyo
Ni furaha tupu kwa Ray C kuweza kutimiza mwaka bila kutumia mihadarati

0 comments:

Post a Comment