Badala Yake Wafanyakazi Watumia Magunia Yaliyochakaa Na Maboksi Kubebea Taka Taka Hizo!
Huyu ni mmoja wa Wafanyakazi wa Jiji ambae anafanya kazi hizo na vitendea kazi duni.
Hapa akipokea Taka Taka.
Mapumzikoni baada ya kazi.
Hii ndio hali halisi ya vifaa vinavyo tumika kuzolea Taka taka Jijini Mbeya
Mwisho wafanyakazi hao wamewaomba wapatiwe vifaa ambavyo vitawasaidia kufanya kazi vema kama groves, na mikokoteni pia koleo za kuzolea taka
CHANZO:BOFYA HAPA
CHANZO:BOFYA HAPA
0 comments:
Post a Comment