Bwana AHMED MBARAK
Siku kama ya leo alizaliwa Mdau wa 24 SEVEN 365 anaitwa Bwana AHMED MBARAK, akiwa Masomoni katika Mjini wa KHARKOV Nchini UKRAINE anasomea Masuala ya ECONOMIC-COMPUTER CYBERNETICS.
Siku kama ya leo alizaliwa Mdau wa 24 SEVEN 365 anaitwa Bwana AHMED MBARAK, akiwa Masomoni katika Mjini wa KHARKOV Nchini UKRAINE anasomea Masuala ya ECONOMIC-COMPUTER CYBERNETICS.
Blogu hii
inaungana na Familia yake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote katika
kukutakia siku njema iliyo na Furaha, Amani na Upendo, na pia Mafanikio
katika maisha yako.
Mwenyezi Mungu akujaalie Afya Njema,Maisha Marefu, Busara na Hekima katika siku zote za maisha yako.
HAPPY BIRTHDAY AHMED MBARAK!!
0 comments:
Post a Comment