Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Taifa,akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Kusini Unguja jana
katika ukumbi wa Skui ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa
katika ziara zake za kuimarisha Chma cha Mapinduzi katika Mikoa mitano
ya Zanzibar.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Vuai
Ali Vuai,akimkaribisha Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya
Kusini Unguja jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa
wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi
katika Mikoa mitano ya Zanzibar.
Mwenyekiti
wa CCM Mkoa Kusini Haji Ussi Gavu akizungumza na kumkaribisha Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Vuai
Ali Vuai,ili nae akmkaribishe Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya
ya Kusini Unguja jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari
Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama
cha Mapinduzi katika Mikoa mitano ya Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Taifa,akipokea ripoti ya chama cha Mapinduzi kutoka kw Katibu wa Wilaya
ya Kusini Hinaya Khamis,wakati wa Mkutano wa viongozi wa CCM wilaya
hiyo jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa
Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika
Mikoa mitano ya Zanzibar
Viongozi
wa CCM Ngazi mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed
Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,alipozungumza na viongozi
hao katika mikutano ya ziara zake za kuimarisha Chama cha
Mapinduzi,katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa
Kusini,jana.
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar
0 comments:
Post a Comment