SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, June 17, 2011

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Afanya Ziara Mkoa Wa Kusini Zanzibar Kuimarisha Chama



Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Kusini  Unguja jana katika ukumbi wa Skui ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chma cha Mapinduzi katika Mikoa mitano ya Zanzibar.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Vuai Ali Vuai,akimkaribisha Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Kusini  Unguja jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mikoa mitano ya Zanzibar.
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa Kusini Haji Ussi Gavu akizungumza na kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Vuai Ali Vuai,ili nae akmkaribishe Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Kusini  Unguja jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mikoa mitano ya Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,akipokea ripoti ya chama cha Mapinduzi kutoka kw Katibu wa Wilaya ya Kusini Hinaya Khamis,wakati wa Mkutano wa  viongozi wa CCM wilaya hiyo jana katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mikoa mitano ya Zanzibar
 Viongozi wa CCM Ngazi mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,alipozungumza na viongozi hao katika mikutano ya ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi,katika  ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi,Mkoa wa Kusini,jana.
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar

0 comments:

Post a Comment