Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif
Sharrif Hamad akiwahutubia wakazi wa Zanzibar waliofurika katika ukumbi
wa Ngome Kongwe kushuhudia uzinduzi wa Filamu Maalum inayoelezea maisha
yake ambayo ilionyeshwa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Filamu
Zanzibar linaloendelea hivi sasa kisiwani hapa.
Picha: Imelda Mtema/Zanzibar
0 comments:
Post a Comment