SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, November 9, 2010


Ratiba Ya Shughuli Za Bunge Novemba 2010
MPANGILIO WA SHUGHULI ZA MKUTANO WA KWANZA WA BUNGE
----------
TAREHE 8-17 NOVEMBA 2010 

JUMATATU 08 Novemba,2010
Tangazo la Rais Kuitisha Bunge - IKULU

JUMANNE 09 Novemba,2010
* Wabunge kuelekea Dodoma
* Kusajili Wabunge Wateule Dodoma - Ofisi ya Bunge Dodoma

JUMATANO 10 Novemba,2010
Usajili kuendelea Dodoma - Katibu wa Bunge

ALHAMISI 11 Novemba,2010

Saa 4.00 Asubuhi
* Mikutano ya Kamati za Vyama vya Siasa
* Kikao cha Briefing UKUMBI WA BUNGE

Saa 10.00 Jioni
Kupokea majina ya wagombea Uspika (Nomination day)

IJUMAA 12 Novemba,2010
* Mkutano wa Bunge wa Kwanza.
* Kikao cha Kwanza kuanza kwa kusomwa Tangazo la Rais la kuitisha Bunge
* Uchaguzi wa Spika.
* Kiapo cha Spika.
* Wimbo wa Taifa na Dua
* Kiapo cha Utii kwa Wabunge Wote.

JUMAMOSI 13 Novemba,2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa

JUMATATU 15 Novemba,2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa

JUMANNE 16 Novemba, 2010

Asubuhi
Wabunge kuendelea Kuapishwa

Mchana
* Kuthibitisha Jina la Waziri Mkuu
* Waziri Mkuu kutoa Neno la Shukrani
* Uchaguzi wa NAIBU SPIKA

JUMATANO 17 Novemba, 2010

Asubuhi
Waziri Mkuu Kuapishwa IKULU - CHAMWINO

Saa 10.00 Jioni
RAIS KULIHUTUBIA BUNGE UKUMBI WA BUNGE
NENO LA SHUKRANI - WAZIRI MKUU
HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE

Usiku
Tafrija ya Rais kwa Wabunge wote Viwanja vya Bunge

*ENDAPO ITAKUWA SIKUKUU TAREHE 15 AU 16 NOVEMBA,2010 BUNGE LITASITISHA SHUGHULI ZAKE HADI SIKU INAYOFUATA.

Imetolewa tarehe 8 Novemba,2010
OFISI YA BUNGE,
S.L.P.9133,
DAR ES SALAAM

0 comments:

Post a Comment