Kama ulikuwa hujui hii ni kwa taarifa yako tu chukua na usimwambie mtu, Farasi na namna ya kipekee aonekana katika jiji la Washigton Marekani akitumiwa kuwaburudisha familia na watoto zao wanaokwenda "Kula Bata" maana nyingine "Kufurahika" Wikendi katika Hifadhi moja maarufu sana Jijini hapo.Na ana uwezo wa kubeba watu 10 na kupiga mzigo siku nzima non stop,Kabla ya kupiga mzigo anakula majani tani 100 na maji lita 5000 upo hapo.Mmiliki wa Farasi huyo ametujuza "24 seven 365" asubuhi hii ya leo.
Saturday, May 8, 2010
USHAWAHI KUONA FARASI WA NAMNA HII, BADO!!
Kama ulikuwa hujui hii ni kwa taarifa yako tu chukua na usimwambie mtu, Farasi na namna ya kipekee aonekana katika jiji la Washigton Marekani akitumiwa kuwaburudisha familia na watoto zao wanaokwenda "Kula Bata" maana nyingine "Kufurahika" Wikendi katika Hifadhi moja maarufu sana Jijini hapo.Na ana uwezo wa kubeba watu 10 na kupiga mzigo siku nzima non stop,Kabla ya kupiga mzigo anakula majani tani 100 na maji lita 5000 upo hapo.Mmiliki wa Farasi huyo ametujuza "24 seven 365" asubuhi hii ya leo.
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Saturday, May 08, 2010
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
0 comments:
Post a Comment