Baadhi ya wanafunzi wa shule za jijini wakiwa wamepanda katika gari dogo aina ya pick-up eneo la Mwenge Barabara ya Bagamoya jana. Hata hivyo wanafunzi wengine walikuwa wakining’inia katika gari hilo bila kujali usalama wa maisha yao. (Picha na Peter Twite) |
Saturday, May 8, 2010
TABU YA USAFIRI
Tabu ya usafiri jijini Dar es salaam
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Saturday, May 08, 2010
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
0 comments:
Post a Comment