
Afisa toka Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa Bi. Monica Mwailolo akifafanua jambo kwa wanahabari wa Daily News na HabariLeo baada yakutoa mada ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010 kuhisiana na utekelzaji na matumizi yake kwenye uchaguzi mkuu. Semina hiyo inafanyika hoteli ya Peacock jijini Dar.
0 comments:
Post a Comment