Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif,
akisalimiana na Wanavikundi vya Ushirika wa Wanaweke Mkoani Pemba
akiongoza ziara ya Wake wa Wawakilishi na Wbunge kutembelea Vikundi vya
Wanawake na kutowa misaada katika vikundi hivyo.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif,
akimkabidhi mmoja wa Wanavikundi vya Ushirika vya Mkoani fedha taslim
Shilingi laki nne, kwa ajili ya kuendelea vikundi hivyo vya
Kinamama,Fedha hizo zimetolewa na Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, Mke wa Makamu wa Pili wa
Rais Mama Asha Balozi Seif na Wake wa Wawakilishi na Wabunge wa CCM,
jumla ya Vikundi Sita vimefaidika na msaada huo katika Wilaya ya
Mkoani Pemba.



