Mwenyekiti
wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard kulia
akitoa msimamo wa wanahabari dhidi ya gazeti la Rai na mbunge
Msigwa leo ,kushoto ni katibu mtendaji wa IPC Francis Godwin
Wanahabari
Clement Sanga kushoto akiwa na mwakilishi wa New habari {2006} Ltd
wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania , Rai na Bingwa mkoa wa Iringa
Mercy Mwalusamba wakati wa kikao cha cha wanahabari mkoa wa Iringa
leo kujadili habari zilizoandikwa na gazeti la rai jumapili



