SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.
Showing posts with label Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara ya Kazi na Ajira:Tamko la Serikali juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala binafsi wa huduma za ajira. Show all posts
Showing posts with label Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara ya Kazi na Ajira:Tamko la Serikali juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala binafsi wa huduma za ajira. Show all posts

Tuesday, January 28, 2014

Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara ya Kazi na Ajira:Tamko la Serikali juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala binafsi wa huduma za ajira

 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka akitoa tamko la Serikali kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala binafsi wa huduma za ajira wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa idara ya habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.
--
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
WIZARA YA KAZI NA AJIRA
1.Wizara ya Kazi na Ajira imekua ikipokea malalamiko  toka kwa wadau mbalimbali  utaratibu wa udalali wa kukodisha wafanyakazi katika makampuni unaofanywa na baadhi ya Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira nchini.