JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TUME YA UUMISHI WA MAHAKAMA YA TANZANIA

Tume
ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya va
112(1) va Katiba va Jamhuri va Muungano wa Tanzania va mwaka 1977.
Aidha, kwa mujibu wa Sheri a va Uendeshaji wa Mahakama Na. 4/2011, Tume
va Utumishi wa Mahakama mbali na kuwa na majukumu mengine inalo jukumu
la kuajiri watumishi wa kada mbalimbali wa Mahakama.



