Na Mwene Said
MSANII
Emmanuel Mbasha (32) ni mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha (pichani wakiwa, amefikishwa
katika Maha kwenye shughuli zao siku za nyuma) kama ya Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka mawili
ikiwemo ya ubakaji.



