Baadhi
ya wanafunzi kati ya 45 wanaosoma kidato cha Nne katika shule ya
sekondari ya wasichana ya Luther iliyopo Mapinga Bagamoyo Mkoa wa Pwani
wakimkabidhi zawadi ya kumshukuru mwalimu wao Mkuu Mtanga Gerson wakati
wa Mahafali yao ya kwanza ya Kidato cha Nne tangu kuanzishwa kwa shule
hiyo mwaka 2010. Jumla ya wanafunzi 45 wanategemea kufanya mtihani wa
taifa wa kidato cha Nne hivi karibuni.Wapili kutoka kushoto ni
Mkurugenzi Rasmali Watu Mary Ngonyani,ambaye alikuwa mgeni rasmi katika
sherehe hizo na Mkurugenzi wa shule hiyo Aumsuri Kiwelu.
Showing posts with label MAHAFALI YA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LUTHER BAGAMOYO YAFANA. Show all posts
Showing posts with label MAHAFALI YA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LUTHER BAGAMOYO YAFANA. Show all posts



