Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akiongoza kikao kati ya balozi
wa Tanzania nchini Congo DRC Balozi Anthony Cheche aliyefika ofisini
kwake kwa lengo la kujitambulisha na kujadili mambo mbalimbali ya
kimahusiano kati ya nchi hizo mbili. Mkuu huyo wa Mkoa alimuomba balozi
Cheche kunadi fursa za uwekezaji zinazopatikana Mkoani Rukwa pamoja na
kuunganisha nguvu ya nchi hizi mbili katika kuwekeza kwenye usafiri wa
majini katika Ziwa Tanganyika. Akizungumzia kuhusu wahamiaji haramu
amesema ni bora kujenga ushirikiano mzuri wa kibiashara kwa nchi zote
mbili ambapo taratibu maalum zitafuatwa kwa wananchi na wafanyabiashara
kuingia na kutoka.
Showing posts with label BALOZI WA TANZANIA NCHINI DRC ANTHONY CHECHE AONANA NA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUJADILI MAHUSIANO YA NCHI HIZO MBILI. Show all posts
Showing posts with label BALOZI WA TANZANIA NCHINI DRC ANTHONY CHECHE AONANA NA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUJADILI MAHUSIANO YA NCHI HIZO MBILI. Show all posts
Wednesday, October 30, 2013
BALOZI WA TANZANIA NCHINI DRC ANTHONY CHECHE AONANA NA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUJADILI MAHUSIANO YA NCHI HIZO MBILI
Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akiongoza kikao kati ya balozi
wa Tanzania nchini Congo DRC Balozi Anthony Cheche aliyefika ofisini
kwake kwa lengo la kujitambulisha na kujadili mambo mbalimbali ya
kimahusiano kati ya nchi hizo mbili. Mkuu huyo wa Mkoa alimuomba balozi
Cheche kunadi fursa za uwekezaji zinazopatikana Mkoani Rukwa pamoja na
kuunganisha nguvu ya nchi hizi mbili katika kuwekeza kwenye usafiri wa
majini katika Ziwa Tanganyika. Akizungumzia kuhusu wahamiaji haramu
amesema ni bora kujenga ushirikiano mzuri wa kibiashara kwa nchi zote
mbili ambapo taratibu maalum zitafuatwa kwa wananchi na wafanyabiashara
kuingia na kutoka. 


