SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, May 29, 2015

RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AFUNGA MKUTANO WA MABALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JIJINI DAR

Balozi Seif kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akiufunga Mkutano wa Nne wa siku Tatu wa Mabalozi wa Tanzania uliokuwa ukifanyika katika Hoteli ya Ramada Mjini Dar es Salaam.Baadhi ya Mabalozi wa Tanzania katika Mataifa mbali mbali Duniani walioshiriki Mkutano wao wakifuatilia Hotuba ya Ufungaji wa Mkutano huo iliyosomwa na Balozi Seif kwa niaba ya Rais wa Zanzibar Dr. ASli Mohammed Shein.

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA


ATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.

unnamed 
Na Mwandishi wetu
=====
Dar es Salaam: May 29, 2015: SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza  uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana  na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma hizo hapa nchini, shirika hilo lina mpango mpya utakaoanza rasmi tarehe mosi ya mwezi Juni mwaka huu kwa kuongeza safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hadi kufikia mara nane kwa wiki ikiwemo mara mbili siku za Alhamisi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL Bw. Johnson Mfinanga alisema shirika hilo ndilo pekee linalotoa huduma ya safari za anga kati ya Tanzania na Visiwa vya Comoro huku akibainisha fursa za kibiashara zilizopo kati ya nchi hizi mbili jambo linalosababisha uwepo wa ongezeko la mahitaji ya huduma za ATCL.
Pia amewaasa watanzania hususan wakazi wa mtwara kuchangamkia fursa hizo kwa kuwa shirika hilo kwa sasa linatoa huduma zake kati ya Mtwara na visiwa vya Comoro kwa siku za Jumatano na Ijumaa kila wiki.

Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao

 class=
Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.
Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.
MGOGORO wa uongozi ndani ya Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) umeingia katika hatua tata baada ya viongozi waanzilishi wa chama hicho kulalamikia uchaguzi uliopangwa kufanyika Mai 30, 2015 mjini Dodoma ilhali kuna mgogoro wa uongozi ndani ya chama hicho ukiendelea.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa niaba ya viongozi wenzake Mwenyekiti wa TAPSEA, Pili Mpenda ambaye pia ni miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho jana jijini Dar es Salaam alisema anasikitishwa na kitendo cha viongozi walioingia kinyume na katiba ya chama hicho kujipanga kufanya uchaguzi ilhali kuna kesi ya msingi ipo mahakamani kulalamikia wao kuondolewa madarakani.
Alisema viongozi waliopo madarakani sasa wameingia kwa nguvu za Msajili wa Vyama vya Siasa nchini baada ya kushinikiza uchaguzi kinyume na maelekezo ya Mkutano Mkuu wa kwanza wa TAPSEA uliofanyika Arusha Mai 18, 2013 wa chama hicho ambao ulielekeza maboresho ya katiba ya chama kabla ya chochote kufanyika.
Alisema mkutano mkuu wa pili uliofanyika mkoani Mwanza 2014 uliitishwa ili kuwaeleza wananchama juu ya shinikizo la msajili na wanachama wachache (7) kufanyika uchaguzi na kuwaeleza mwenendo wa marekebisho ya katiba ya TAPSEA lakini Ofisa msajili alishinikiza ufanyike uchaguzi ambao uliwagawa wanachama na wengine kususia uchaguzi huo kutokana na mvutano.
Bi. Mpenda alisema uchaguzi uliofanyika haukuwa halali kwani mbali na kufanyika kinyume na katiba ya TAPSEA na maelekezo ya Mkutano Mkuu wa kwanza haukushirikisha wanachama wote. Aliongeza kuwa kati ya wanachama halali 815 waliokuwa wamejisajili ni wanachama 200 tu ndio walioshiriki katika uchaguzi huo.

Thursday, May 28, 2015

QUOTE OF THE DAY

This quote is from the ‪#‎Legend‬, ‪#‎JimRohn‬:
“Find a way to serve the many, for service to many leads to greatness for those that are interested.


Some people aren’t interested, but for those that are, service to many leads to greatness.”
Someone says, “Well, the best I can do is just take care of myself,” which is ok, but it doesn’t lead to greatness.

Someone says, “I’ve got enough bills of my own. I can’t worry about someone else’s bills.” That’s okay, but it doesn’t lead to greatness.

Greatness is helping people pay their bills. You forget about yours. Because if you help enough people pay theirs, yours disappear. Help people with problems. Your problems disappear.
The key to greatness, the Master Teacher taught, is Find a way to serve the many, for service to many leads to greatness.”

Tanzania yatiliana saini na Benki ya Maendeleo ya Afrika ( AfDB ) Mjini Abidjan- Ivory coast.

1
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. AlyAbou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania.Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini  Abidjan- Ivory coast.
2
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.AlyAbou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongezana mara baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme na nishati nchini Tanzania.
3
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. AlyAbou-Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa mbaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wa kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwaajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.

TANZANIA KUTOA NAFASI ZAIDI KUWEZESHA WAKIMBIZI KUWA NA MAISHA YA KAWAIDA

DSC_0009
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (kulia) akiwasili kwenye uwanja wa ndege Kigoma akiwa ameambatana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (hayupo pichani) pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (wa pili kulia) na kupokelewa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Dkt. John Ndunguru (wa pili kushoto) kwa ajili ya kutembelea na kuona changamoto katika maeneo maalum wanapohifadhiwa Wakimbizi. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

ORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.

 Mwigizaji wa Origino Komedi ,Mjuni Sylivery(Mpoki,nyani Mzee),akipewa maelekezo ya kuendesha Trekta mara Baada kukabidhiwa ufunguo wake na  Fundi Mkuu wa Kampuni ya Farm Equip Tanzania , Yunusu Nsekela wakati wa kukabidhiwa Matrekta kwaajili ya kilimo jijini Dar es Salaam leo
 Mwakilishi wa muigizaji Josef Shamba(Vengu),ambaye hakuweza kufika kupokea Trekta lake kwa sababu ya Maradhi yanayomsumbua akipokea ufunguo kutoka kwa  Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink jijini Dar es Salaam leo.
 Mwakilishi wa muigizaji Josef Shamba(Vengu),ambaye hakuweza kufika kupokea Trekta lake kwa sababu ya Maradhi yanayomsumbua akipokea ufunguo kutoka kwa  Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink  akisalimiana mara baada ya akimkabidhi ufungua wa Trekta lake Mwigizaji wa Origino Komed, Isaya Mwakilasa(Wakuvanga) jijini Dar es Salaam leo.
  Mwigizaji wa Origino Komedi ,Mjuni Sylivery(Mpoki,nyani Mzee) akishukuru kwa niaba ya waigizaji wa kundi la Origino Komedi  mara baada ya kukabidhiwa Funguo za Matrekta ya Kilimo jijini Dar es Salaam leo, kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink,Isaya Mwakilasa(Wakuvanga ),Lucacy Mhavile(Joti) na kulia ni Alex Chalamila(Mackregani).
  Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink akizungumza na Vijana wa Kundi la Origino    Komedi mara baada ya kuwakabidhi funguo za Matrekta ya kilimo jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink , katika picha ya pamoja waigizaji wa kundi la Origino  Komedi na nyuma yao ni Matrekta ambayo wamekabidhiwa leo jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza katika makabidhiano ya Matrekta ya Kilimo kati ya Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink na Waigizaji wa kundi la Origino Komedi, leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Matrekta ya Kilimo ambayo waigizaji wa Kundi la Original Comedi wamekabidhiwa leo jijini Dar es Salaam. 
 
Picha na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
 
Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.
WAIGIZAJI wa kindi cha Origino Komedi  wamewaasa vijana kutumia vipaji vyao ili kutengeneza maisha yao kuwa  mazuri na sio kufikiri kuwa vijana wengi hushikwa mkono na mtu ili kufanikiwa.

Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.

Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa  vijana  wameamua kufanya jambo la maana kwa jamii ,"kwani wamenunua matrekta kwa ajili ya kilimo,vijana wengi wamekuwa wakinunua magari ya kifahari  bila kujua kunakesho na keshokutwa kwa maendeleo yao",alisema Bwa Arif.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewapongeza vijana wa kundi hilo kuwa kufanya maamuzi sahihi na ya maendeleo kwa kununua Matrekta hayo kwaajili ya kilimo,amesema kuwa uamuzi wao ni mzuri hata kwa jamii kwani pia kwa namna moja ama nyingine itasaidia kuongeza ajira kwa vijana,kwakuwa kilimo kinahitaji watu wengine na sio wao wenyewe watakao weza kuendesha Matrekta hayo mashambani.

Kundi hilo la Origino Komedi  linaundwa na vijana 7 ambao ni Alex Chalamila(Mackregani),Josef Shamba(Vengu),Mjuni Sylivery(Mpoki,nyani Mzee),Lucacy Mhavile(Joti), Isaya Mwakilasa(Wakuvanga),Emmanuel Mgaya(Masanja mkandamizaji) na Davidi Seki.

 Waigizaji hao wameahidi kupoleka Matrekta yao kwenda kubeba takataka katika Wilaya ya Kinondoni ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda atazindua  kampeni ya Ona aibu, ambayo itahamasisha usafi katika Wilaya ya Kinondoni.

Tigo na Huawei zatoa msaada wa Kompyuta 10 na huduma ya Intaneti kwa Shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga

ta1
Meneja Mahusiano kwa Umma wa kampuni ya Huawei Jin Liguo akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga, Msaada huo ulitolewa na Kampuni ya Tigo kushirikiana na Kampuni ya Huawei. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles ,Mwalimu Mkuu wa Shule ya Chuda Omari Masukuzi na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula.
ta2
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles akikabidhi msaada wa  Kompyuta zenye intaneti ya bureya Tigo kwa  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei  Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.
ta3
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga, Msaada huo ulitolewa na Kampuni ya Tigo kushirikiana na Kampuni ya Huawei. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa Tanga Mhe. Magalula Said, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Chuda Omari Masukuzi.
ta4
Wanafunzi wa shule ya Msingi Chuda Mkoanin tanga wakipokea Kompyuta kwa niaba ya wenzao ambazo zilitolewa na kampuni za Tigo na Huawei.
ta5
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo
ta6
Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga
ta7
Mwalimu wa shule ya Chuda Bi.Teddy Simba akipokea simu kwa niaba ya wenzake toka kwa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula. Simu hizo zitawaweza walimu wa shule hiyo kuweza kuwasiliana wao kwa wao na kuperuzi intaneti  bila gharama yeyote kwa kupitia mtandao wa Tigo.

MKUTANO WA 6 WA WADAU WA GEPF WAANZA LEO JIJINI TANGA

Mgeni Rasmi katika Mkutano wa sita wa Mwaka wa Wadau wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF, Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Adam Malima akitoa hotuba yake katika ufunguzi wa Mkutano huo, ulioanza leo Mei 28, 2015 kwenye hoteli ya Regal Naivera, Jijini Tanga. Kauli mbiu ya Mkutano huo ni "Mafao Bora kwa Maisha yako ya Sasa na ya Baadae".
PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI

1

SEVILLA WABEBA TENA NDOO YA UEFA NDOGO, LAKINI KWA MBINDE

Sevilla's players and staff are joined by their families on the pitch at the National Stadium in Warsaw, Poland
Wachezaji wa Sevilla wakisherehekea na Kombe la Europa League jana Uwanja wa Taifa wa Warsaw, Poland.

Diamond Platinumz aibukia programu ya Mziiki

Nyota wa muziki wa bongo flava nchini Diamond Platinumz amewataka wasanii wa Tanzania kusambaza nyimbo zao kwa njia ya teknolojia kama vile Mziiki iliyozinduliwa hivi karibuni ili ziweze kuwafikia watu wengi na kwa wakati huohuo wanamuziki pia kunufaika na jasho lao.

Diamond anasema kuwa  ameamua kazi zake kuziingiza sokoni tofauti na kazi zake za nyuma ambapo baada ya  kushauriana na wadau anaoshirikiana nao kikazi ameamua aingie sokoni kwa njia ya kidigitali kupitia programu ya Mziiki iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo pia yeye ni balozi anayeitangaza.

Ubunge hautatokana na kiungo cha albino - Silima

bunge1
WANASIASA wameambiwa kuwa ubunge hautatokana na kiungo cha albino na kuachana na fikra hizo potofu.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame Silima amekiri bungeni kuwa ni kweli zipo taarifa kuwa baadhi ya wanasiasa wanahusishwa na imani potofu za kutumia viungo vya binadamu ili kupata madaraka.
"Ni kweli habari ziko zinazungumzwa kuwa wanasiasa fulani na zinaibuka wakati kama huu ambako kuna joto kali la Uchaguzi Mkuu," alisema Silima na kuongeza: "Ubunge hautatokana na kiungo cha albino."

Monday, May 25, 2015

20 Reasons Why You Should Start A Network Marketing Business

slide3

If you are new to business, and in particular network marketing then “welcome”. You are at the right place. I strongly believe that building a network marketing business is one of the smartest things you can do with your time and money in today’s economy.
In order for you to be really successful in network marketing, it is important to understand why you should even bother. The truth is that it takes time, effort and energy to build a business. Most people are quite comfortable with where they are, so why bother?
Below are the top 20 reasons why starting a network marketing business right now is one of the smartest things you can do, but first we must understand that we are now living in a new age. “The Information Age”.
Living in the Information Age
For the last 2000 years of human history, we lived in the “Agrarian Age”. This was a time when it was all about farming. Whoever owned the farms and the land, controlled the wealth.In the 20th Century, we moved in to a new age called the “Industrial Age”. The first big corporate giants including Andrew Carnegie and Henry Ford, with their huge steel and car companies dominated the business world. It was whoever owned the factories that controlled the wealth.From the year 2000 onwards, with the rise of the Internet, we moved in to a new age. “The Information Age”. Today, companies like Twitter and Facebook are changing the business world. Today, it is about building and owning networks. This has levelled the playing field. There has never been a better time in history to build and own your own business. Are you set to take advantage?
1. Build Your Fortune, Not Someone Else’s
Here is the big question: At your current place of work, who is making a living and who is getting rich? It is whoever owns the asset. The asset is the business. This is where the control and wealth is. By working as an “Employee,” you are spending your 8 hour day building someone else’s asset. You are earning a living, and the owner is building a fortune. You are not only making 10x less money, but also paying twice as much in tax.
2. Want To Double Your Income Each Year?
It is very difficult to be able to double your income with a job. In fact, the average pay rise is currently around 2%. This is crazy, especially since inflation is closer to 10%. However, with a business, it is a lot easier to get twice as many “customers” next year than the last, which in turn doubles your income. The smart people are now building their own businesses on the side.
3. True Financial Freedom
One of the top reasons for owning your own business is that it leads to financial freedom. Meaning, being able to earn lots of money without you needing to be there. The problem with a job is that you are “Selling time for money”. This means that you can never stop working because your income also stops. With a business, you have hundreds of customers that are generating the income. This means you can go on holiday for a month and be making more money when you come back than when you left.
4. Utilise the Internet…(or kick yourself)
Important Point: The Internet is changing the world as we know it, and you are living in the middle of it right now. In 50 years, you might look back and think, why didn’t I make the most out of it? There has never been a better time in history to start a business and especially one that involves connecting with people. You can now contact hundreds of people with a push of a button. The fact you are reading this right now proves it’s effectiveness. You will kick yourself if you do not take advantage of this.
5. Living A Rich and Rewarding Life
One of the biggest benefits with a network marketing business is the personal development, which many people are not even aware it exists. To become successful, you have to help other people become successful. It’s very rewarding to watch other people grow and become better people. The fact that you can make £100K per year, working only 4 hours a day, which then gives you all the time and money to enjoy life is a massive bonus.
6. Are You Taking Advantage of the Population Boom?
You may not currently be aware of this but, the human race is currently expanding exponentially. Simply do a Google image search for “world population growthj“ and you will see world population is going off the chart. Now, this is going to cause a lot of problems for some businesses, but is great for people businesses like network marketing.
7. What Job Security?
For over 100 years, the reason people clung to jobs was because of security. Today, with more and more people getting made redundant in a shrinking market, job security no longer exists. People are now looking for a more secure way to earn a living. What is more secure? Having one income stream with a job or an income coming from a hundred places, which you get from having a customer base? Today, jobs are now the risky option.
8. Retire Rich or Retire Poor…your choice
The government with the pension scheme made a critical error back in the 1970’s when people could suddenly “Choose” whether they pay in to a pension or not. We now have a massive problem where there isn’t enough money to pay for everyones retirements. Add to that, the fact that the state pension is a tiny £6000 per year, there are going to be thousands of people retiring on half of minimum wage needing another income.
9. Want To Work for The Next 50 Years?
People now have a clear choice. Do they graduate from university with £50,000 of debt? They can then either get a job, earn a living and retire in 50 years on the equivalent of minimum wage, or, they can build a business and have the opportunity to retire after only 3-5 years. This is the Industrial Age moving in to the Information Age at it’s most obvious. Those who realise this, will be the ones who will benefit massively financially.
10. Want To Start Life £50K in Debt?
With university fees being tripled in the UK, the average student debt is now £50,000. The younger generation are starting life with chains around their neck. The choice the younger generation now has, is going to uni and starting life in debt or starting a business where in 3 years they could become financially independent. Where do you think people are going to be going? Are you ready to help them and benefit financially?
11. Do You Use Mass Market Chemical Products?
Did you know that 95% of the food we buy and personal care products we use from the super markets and the high street stores are not very good for you? They are mass produced and in order for them to have a long “Shelf Life” are being pumped full of preservatives and parabens. Studies are now linking these to cancer. The top network marketing companies are botanically based meaning, products that are actually good for you.
12. Would You Like An Income That Builds Itself?
When you get to a certain point in a multi level marketing business and you have your team in place, your business then begins to build itself. You cannot do this with a job. This is how you can go then away on holiday and be making more money when you come back than when you left. Thats leverage!
13. Want More Recognition and Appreciation?
How would you like to work for a company where your hard work gets regular recognition and appreciation? You can now become part of a strong community of people who all want you to succeed as it directly benefits everyone. This is very rare to find in a job.
14. The 9-5 Job Is Broken!
In a 9-5 job, there is only one winner and that is the boss. The reason you only get 2% pay rises is because it comes directly out of the bosses pocket. The more money you make, the less money he makes. In a mlm business, the more money you make, the more money your business partners make. It is a true win/win. This is not only the business modal of the future, it is the business modal of right now.
15. Surround Yourself With Like Minded, Fun, Ambitious People
Are you lucky enough to be surrounded by fun, ambitious, like minded people? Most people are not. Network marketing attracts the very best people, which is very beneficial to you because you then surround yourself in a new culture that supports you and helps you become successful. Remember this: You will earn what the 5 closest people around you earn.
16. A Shrinking Job Market
With increasing population and more traditional businesses closing down due to the Internet, there are now less jobs for people to go for. This means employers can and do take full advantage of this, asking people to work longer and longer hours for the same money. This is becoming more and more common and is making people work in a fear based environment. Do you want to continue to live like this?
17. Getting Poorer with Rising Prices? – Inflation!
So, the government statistics state that inflation is around 3%…so why then are our gas, electric and phone prices going up closer to 10%? You don’t need a degree in maths to know this doesn’t add up. The truth is that if you are not getting closer to a 10% pay rise each year, then you are actually getting poorer. Inflation is a stealth tax which the masses are not educated to realise.
18. Get Free 5* Holidays and Drive A Luxury Car
The top multi level marketing companies offer their consultants great incentives for their work. These include free luxury cars, all paid for 5* holidays to paradise islands and free weekends away. Why save up for your holidays and car when your work place will pay them all for you? Does your current employer offer you this?
19. Want The Same Tax Breaks of the Rich?
Having a part time or full time home business gives you great tax incentives that are used by the rich. All of a sudden, all your transport, rent, computer, phone, office equipment, coffee shop visits, meals out, as well as many other things all become a tax deductible expense. You too can have access to tax incentives that rich people get to use.
20. What Do Donald Trump, Richard Brandson and Robert Kiyosaki Have In Common?
I am going to finish with this. Some of the biggest business people all around the world are either involved or recommend network marketing, including Donald Trump, Richard Brandson, Robert Kiyosaki, Stephen Covey, Jim Rohn and T Harv Eker and many more. Who are you going to listen to? Need I say anymore?
How To Get Started
If you would like to learn how to build your own successful network marketing business, then you have come tgo the right place. You too can now enjoy and take advantage of all these benefits. Simply click here to get instant access to the  opportunity video from one of  the best Network Marketing company in the world today

For more info on how you can also benefit from this Amazing Opportunity Call: +255 783 149 561 WhatsApp

Friday, May 22, 2015

SIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA

Mwenyekiti   wa chama cha Tnzania Labour Part (TLP) Agustino Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo)   katika mkutano uiliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MELEZO kuhusu kukanusha  kuwa yeye amefukuzwa TLP,Kushoto Mkurugenzi wa Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo,Kulia ni Katibu Mkuu wa TLP,Nancy Mrikariya.

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.

Mrema aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana kuwa yeye ni mwenyekiti wa Chama hicho na hakuna mtu wa kumtoa kutokana na kuendesha chama hicho kwa kufuata katiba.

Amesema kikundi kinachofanya hivyo na kusambaza taarifa kuwa kimemtoa kutokana na kufanya vikao hakitambui na kuwataka wanachama kuwabeza watu hao. 

Mrema amesema yeye akiwa Mwenyekiti ataendelea kutetea jimbo lake la Vunjo,hivyo watu wanaosema amefukuzwa katika chama wapuuzwe.
Aidha amesema biashara ya Urais ameachana nayo ,sasa kazi yake ni Ubunge kupitia jimbo la Vunjo na ameweza kuleta maendeleo ya wananachi katika jimbo hilo

MGOMO WA WANAFUNZI UDOM WAINGIA SIKU YA PILI


Wnafunzi wa UDOM wakiwa katika mgomo wakishinikiza serikali kuwalipa pesa zao za kujikimu.

Sakata la ndoa za jinsia moja nchini Ireland wameamua kupiga kura leo !!

IRELAND-master675
Mwaka 1993 nchi ya Ireland ilikuwa moja ya mwisho mwisho kabisa katika nchi za Ulaya kuhalalisha ishu ya uhusiano wa jinsia moja.. mpaka leo ni miaka 22

JE UPO KUNDI GANI KATI YA HAYA?


Wednesday, May 20, 2015

Zaidi ya 6,000 wagoma UDSM

Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala (katikati) akizungumzia moja ya migomo ya wanafunzi wa chuo hicho.
Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala (katikati) akizungumzia moja ya migomo ya wanafunzi wa chuo hicho.
ZAIDI ya wanafunzi 6,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) sehemu ya Mlimani, wanaodai fedha za kujikimu kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Nchini (HESLB), jana waligoma kuingia darasani wakishinikiza kulipwa fedha zao.

Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Tatu kutoka kushoto akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Abiria { Terminal 11 } katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar wa Abeid Amani Karume akiwa pamoja na uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Dr. Juma Malik Akio na Msimamizi wa ujenzi wa jengo la Abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Nd. Yassir De Costa.

Tigo yazidi kupanua wigo wake maeneo ya vijijini


SAMSUNG CSC
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (aliyevaa miwani) pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga wakikata utepe kuzindua minara ya mawasiliano ya mtandao wa simu wa Tigo katika vijiji vya Iguluba na Makukula, Jimbo la Isimani, wilayani Iringa mkoani Iringa. Wengine pichani ni viongozi wa wilaya ya Iringa na baadhi ya wananchi wa vijiji hivyo

Rebuild Your Dreams, Reset Your Goals For 2015

Believe This: Everything you need to be great is already inside of you. WHAT IS STOPPING YOU????
Most people give up because everyone has told them what they CAN'T DO and it is easier to stay safe in the COMFORT ZONE, so they sit on the FENCE,unable to DECIDE, unable to ACT
If you feel like you are that person let me encourage you, to come and listen to a select group of people who will help you learn how you can JUMP OFF THAT FENCE!

JKICC- City Center at 5pm sharp
‪#‎WeAreCreatingGreatness‬
#‎RebuildYourDreams‬
#‎2015HeavyRains‬
For more info call +255 783 149 561 to book your card limited number of seats.

JK afungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) jijini Dar es salaam leo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015

VIDEO: Filipe Nyusi aimba na wana CCM mjini Dodoma

SELCOM yawezesha malipo ya pango ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa njia ya mtandao

DSC_1723
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania, Sameer Hirji akimuonyesha mashine ya POS ya Selcom Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemiah Mchechu. Mashine hizo zitatumika katika ulipaji wa kodi za majengo ya NHC. 
DSC_1732
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania, Sameer Hirji akielezea kwa waandishi wa habari jinsi huduma ya ulipaji kodi kwa njia ya Simu na akaunti za Benki inavyofanya kazi.
DSC_1744
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania, Sameer Hirji akimuonyesha risiti za malipo ya pango za nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa kwa waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa malipo kwa njia ya mtandao wa Selcom.

SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.

BENKI YA NBC YASAIDIA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA

Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa akikabidhi cheti kwa Eddah Francis (kulia), mmoja wa wahitimu wa mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam katika mahafali yao yalifanyika Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam leo. Kulia kwa Rukia ni Mkuu wa Future World, Robert Mkolla na Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter. Mradi huo umefadhiliwa na NBC kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa akikabidhi cheti kwa Rasuli Mikidadi (kulia), mmoja wa wahitimu wa mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam katika mahafali yao yalifanyika Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam leo. Kulia kwa Rukia ni Mkuu wa Future World, Robert Mkolla na Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter. Mradi huo umefadhiliwa na NBC kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa akikabidhi cheti kwa Steven Msulwa (kulia), mmoja wa wahitimu wa mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam katika mahafali yao yalifanyika Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam leo. Kulia kwa Rukia ni Mkuu wa Future World, Robert Mkolla na Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter. Mradi huo umefadhiliwa na NBC kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa akikabidhi cheti kwa Neema Kaole (kulia), mmoja wa wahitimu wa mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam katika mahafali yao yalifanyika Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam leo. Kulia kwa Rukia ni Mkuu wa Future World, Robert Mkolla na Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter. Mradi huo umefadhiliwa na NBC kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (katikati), akitoa hotuba kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo katika hafla hiyo. Kushoto ni Mkuu wa Future World, Robert Mkolla na kulia ni Meneja wa mradi kutoka Shirika la Plan International, Simon Ndembeka.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa akisalimiana na Amina Hassan (kulia), mmoja wa wahitimu wa mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam katika mahafali yao yalifanyika Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam leo. Nyuma yake ni Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter. Mradi huo umefadhiliwa na NBC kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.
Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter akiwa katika hafla hiyo. Kushoto kwake ni Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa na Mkuu wa Future World, Robert Mkolla. Asilimia 60 ya wahitimu 600 katika mradi huo wameshafanikiwa kupata ajira.
Baadhi ya wahitimu wa mradi wa kuwaendeleza vijana kiuchumi wakiwa katika hafla hiyo. Mradi huo umefadhiliwa na benki ya NBC kwa kiasi cha pesa zaidi ya shs milioni 420 kwa ukiratibiwa kwa kushirikiana na Shirika la Plan International.