SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, August 3, 2014

MUIGIZAJI NYOTA WA KENYA ALIYEIGIZA KATIKA MCHEZO WA TAUSI AMEKUFA


Muigizaji Nyota wa Kenya Derek Amuga, ambaye alikuwa ametoweka tangu Julai 25, imethibitishwa kuwa amekufa.

Amuga alipata umaarufu katika miaka ya 90, akiigiza kama mtoto wa mitaani kwenye mchezo wa Tausi, akijulikana kama Master Sugu.

Tangu wakati wa igizo hilo Amunga, hakuwa anaigiza kwenye majukwa wala katika michezo ya runinga.

Taarifa za kutoweka kwake zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii tangu wiki iliyopita.

RWEYUNGA BLOG

0 comments:

Post a Comment