Samia
Suluhu Hassan ndiye Makamu Mwenyekiti wa Kudumu Bunge Maalum la Katiba
baada ya kupata kura 390 sawa na 74% na kumshinda mpinzani wake Amina
Abdallah Amour aliyepata jumla ya kura 126 sawa na 24%. Kwa matokeo
hayo, Samia Hassan ataungana na Samuel Sitta aliyechaguliwa jana kuwa
Mwenyekiti wa Kudumu wa bunge hilo katika mchakato mzima wa kupata
katiba mpya.
Thursday, March 13, 2014
SAMIA HASSAN NDIYE MAKAMU MWENYEKITI BUNGE LA KATIBA
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Thursday, March 13, 2014
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook



