Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzamnia Bw.Marcel ESCURE
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzamnia Bw.Marcel ESCURE
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiashiria jambo wakati wa akiufunga mkutano wa Tafakuri na maridhiano
katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania katika ukumbi wa White sand
jijini Dar es Salaam,uliowashirikisha wanasiasa,Mashirika ya Kijamii na
Viongozi wa Dini mbali mbali nchini
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Hoteli ya Whitesand Jijini
Dar es Salaam,kuufunga mkutano wa siku mbili wa Tafakuri na maridhiano
katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania leo.
Baadhi
ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili kuhusu tafakuri na maridhiano
katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania wakimsikiliza Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa
akiufunga mkutano uliowashirikisha watu mbali mbali wakiwemo
Wanasiasa,Viongozi wa Dini na Mashirika ya Kijamii Nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mwenyekiti wa
Kituo cha Demokrasia Tanzania pia Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi
Joseph Mbatia baada ya kuufunga mkutano wa siku mbili wa Tafakuri na
Maridhiano katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania,Ukumbi wa Whitesand
Jijini Dar es Salaam leo jioni. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu-Zanzibar
0 comments:
Post a Comment