Kijana
Bakari Hassan Katumbaku (Kulia) akionyesha Picha ya Mheshimiwa Rais Dr.
Jakaya Mrisho Kikwete kwa Waandishi wa Habari hawapo Pichani wakati
alipotembelewa kipindi cha matibabu yake katika Hospitali ya Muhimbili
Dar es Salaam baada ya kupata ajali ya moto, kushoto ni Mkurugenzi
Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Bw. Vincent Tiganya
Kijana
Bakari Hassan Katumbaku (Kulia) akionyesha Picha zake enzi za utoto
kabla ya kupata ajali ya moto kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani leo
Jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari
Maelezo Bw. Vincent Tiganya.(Picha Benjamin Sawe wa Wizara ya Habari)
Kijana
Bakari Hassan Katumbaku ambaye alipata msaada wa matibabu kutoka kwa
Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ambapo mpaka sasa anaendelea
kupata msaada wa kusoma (kulia) akimshukuru Mheshimiwa Rais mbele ya
waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwa msaada aliopewa,kijana huyo kwa
sasa anasoma katika Chuo cha "Tanzania School of Journalism" akichukua
fani ya Uhandishi wa Habari ngazi ya Cheti.Bakari alipata ajali ya Moto,
kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Bw. Vincent
Tiganya
0 comments:
Post a Comment