SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, February 15, 2014

DKT. SHEIN AWASILI MJINI DODOMA LEO TAYARI KWA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk.Rehema Nchimbi mara alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbali mbali alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma leo akihudhuria katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kinachoanza jioni hii.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiimba wimbo wa Chama alipokaribishwa na Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM Makao Makuu Dodoma leo,mara liowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma Mjini (wa pili kulia) Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk.Rehema Nchimbi.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM Makao Makuu Dodoma wakimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma leo.
(Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.)

0 comments:

Post a Comment