Afisa
wa Beni ya CRDB tawi la Azikiwe Premier - Kitengo cha Wateja Maalum -
Augusta Mfuru (kushoto) akimhuduma Mteja wa Benki hiyo,ambaye ni Mbunge
wa Jimbo la Nkenge, Mhe. Assumpta Mshama.
Afisa
wa Beni ya CRDB tawi la Azikiwe Premier jijini Dar es Salaam,Veronica
Kivuyo akitoa huduma kwa mteja wa Benki hiyo,aliyefika katika tawi
hilo.Huu ni utaratibu wa Benki ya CRDB uunaokwenda sambamba na
Madhimisho ya Wiki ya Mteja Duniani yanayoadhimishwa kila ifikapo wiki
ya kwanza ya Mwezi Oktoba ya kila mwaka.
Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier
Wateja wa Tawi hilo wakiwa wameketi kwa utaratibu unaotakiwa wakati wakisubiria kupatiwa huduma.
Afisa
wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier - Kitengo cha Akaunti za
Serikali - Ibrahim Mgorow (kushoto) akifafanua jambo mbele ya Meneja wa
Tawi hilo, Fabiola Mussula (wa pili kushoto) pamoja na wafanyakazi
wengine wa Benki hiyo wakati wa muendelezo wa Kuadhimisha Wiki ya Mteja
Duniani, inayoadhimishwa kila ifikapo wiki ya kwanza ya Mwezi Oktoba ya
kila mwaka.
Meneja
Mikopo kwa Wafanyabiashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier,
Mary Kimasa (kushoto) akimsaidia mteja kutumia Mashine ya kutolea pesa
alipofika kwenye benki hiyo, ikiwa ni sehemu ya wiki ya mteja duniani
ambayo huadhimishwa kila wiki ya kwanza ya Mwezi Oktoba ya kila mwaka.
Meneja
wa Benki ya CRDB Tawi la Azikiwe Premiera, Fabiola Mussula (wa pili
kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa kitengo
hicho.
Meneja
wa Benki ya CRDB Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula (pili kulia)
akisaidia kutoa huduma kwa mmoja wa wateja wa benki hiyo ikiwa ni sehemu
ya kuadhimisha Wiki ya Mteja Duniani
Meneja wa Utawala wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier, Asha Mtambalike (kushoto) akiwonyesha Wenzaje kitu kwenye kompyuta.
Afisa wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier - Kitengo cha Akaunti za Serikali - Ibrahim Mgorow akihudumia wateja wake.
Meneja
wa Benki ya CRDB Tawi la Azikiwe Premiera, Fabiola Mussula (kulia)
akisalimiana na mmoja wa Wateja Maalum wa Benki hiyo - Kitengo cha
Wateja Maalim, Cosmas Takule.
Picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi na Wateja.
CHANZO: MICHUZI MATUKIO.
0 comments:
Post a Comment