Arsenal FC leo imepaa kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza Stock City mabao 3-1. Kwa ushindi huo, Arsenal wamefikisha pointi 12 baada ya kucheza mechi tano. Katika mechi ya leo iliyopigwa Uwanja wa Emirates jijini London, Arsenal wamejipatia mabao yao kupitia kwa Aaron Ramsey, Per Mertesacker na Bacary Sangna. Stock City wamepata bao lao kupitia kwa Geoff Cameron.
Monday, September 23, 2013
ARSENAL YAIZIMA STOCK CITY, YAPAA KILELENI EPL
Arsenal FC leo imepaa kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza Stock City mabao 3-1. Kwa ushindi huo, Arsenal wamefikisha pointi 12 baada ya kucheza mechi tano. Katika mechi ya leo iliyopigwa Uwanja wa Emirates jijini London, Arsenal wamejipatia mabao yao kupitia kwa Aaron Ramsey, Per Mertesacker na Bacary Sangna. Stock City wamepata bao lao kupitia kwa Geoff Cameron.
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Monday, September 23, 2013
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook




0 comments:
Post a Comment