
Maelfu ya waombolezaji jana walijitokeza kushiriki mazishi ya msanii
Hussein Ramadhan maarufu kwa jina la Sharo Milionea, huku mamia
wakizirai baada ya kushindwa kujizuia wakati mwili wake unawekwa
kaburini.
24 SEVEN 365 "HARAKATI HAZIKOMI"

24 SEVEN 365 "HARAKATI HAZIKOMI"
0 comments:
Post a Comment