SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, September 22, 2012

Simba Na Yanga Wakabidhiwa Mabasi Yao Na TBL


 Wapenzi wa Simba wakitumbuiza huku wakiwatania watani wao wa jadi Yanga kwa kipigo cha mabao matatu kwa nunge dhidi ya Mtibwa Suger, jana wakati wa hafla ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kuzikabidhi Yanga na Simba mabasi mapya makubwa mawili yenye thamani ya sh. mil. 450, Dar es Salaam leo.



 Wapenzi wa Yanga wakiwatania watani wao wa Simba kwa kuwazidi kete kuwa kumchukua Mbuyu Twite


 Yanga wakitumbuiza wakati wa hafla hiyo


 Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin akibadishana hati na Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage


 Mkurugenzi Mtendai wa TBL, Robin akibadailishana hati na Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga


 Gari jipya la Yanga


 Gari jipya la Simba


 Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin akimkabidhi mfano wa ufunguo wa basi, Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage


 Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin akimkabidhi mfano wa ufunguo wa basi, Mwenyekiti wa Yanga, Cement Sanga


 Viongozi wa TBL na Yanga na Simba wakiwa katika picha ya pamoja


Mkuu wa Usambazaji na Mauzo wa TBL, James Bokella akipepea bendera  ikiwa ni ishara ya kuyaruhusu mabasi hayo kuondoka katika Makao Makuu ya TBL leo
Na Ankal Michuzi Matukio

0 comments:

Post a Comment