Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifungua kongamano la siku nne wa kimataifa wa utumishi wa umma leo jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti
wa Mawaziri wa Utumishi wa Afrika ambaye pia ni Waziri wa Utumishi wa
Kenya Dalmas Otieno Anyango akitoa ufafanuzi juu ya viongozi wa Afrika
kuacha tabia ya kurithishana uongozi kutoka mzazi hadi mtoto. Waziri
huyo alitoa kauli hiyo leo jijini Dar es salaam katika kongamano la
kimataifa la utumishi wa umma.
Waziri
Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo na Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia wakati
wa kongamano la kimataifa la utumishi wa umma liloanza leo jijini Dar
es salaam. Waziri Mkuu alikuwa ngeni rasmi katika ufunguaji wa kongamano
hilo.
Washiriki wa
Kongamano la Kimataifa la utumishi wa umma wakimsilikiliza Waziri Mkuu
wa Tanzania Mizengo Pinda (hayupo) pichani wakati wa ufunguaji wa
kongamano hilo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Tiganya Vicent-MAELEZO
Dar).
0 comments:
Post a Comment