Pages

Thursday, March 31, 2011

MIUJIZA YA KIKOMBE CHA DADA MAGE WA TABORA INAENDELEA!!

Ndani ya uzio wanaruhusiwa kuingia watu 10 kwa mara moja.
Leo ikiwa ni takriban siku kumi tangu Dada Mage aaanze kutibu wagonjwa kwa tiba anayodai kuwa kapewa na uwezo huo na Mwenyezi Mungu, Mtaa huo wa Urban Quarter umeanza kuwa maarufu hasa baada ya wachuuzi wa vyakula vya kila aina kuanza kutoa huduma hapo. Kama uonavyo leo pana takriban watu 2000 hivi ukifananisha na jana ambapo palikuwa 500 hivi.
BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment